Welcome to RIRIMBA Lyrics!

Meet the Author

Ut eleifend tortor aliquet, fringilla nunc non, consectetur magna. Suspendisse potenti.

Looking for something?

Subscribe to RIRIMBA Lyrics!

Receive the latest posts by email. Just enter your email below if you want to subscribe!

Monday, December 14, 2015

Utanipenda by Diamond Platnumz

Tanta lala laaa
La la la la laaaa


Mmmmmh….

Ooh Ghafla visenti sina nimerudi Tandalee
Nimeshindwa kulipa BIMA nimeuza madalee
Radio nyimbo wamezima Tv ndio hataree
Umeneja umebaki jina
hanitaki hata Talee


Oooh wale shabiki zangu
walonisifu kwa maneno matamuu
Leo maadui zangu
ni mitusi tu kwa instagramuu


Kimwanaa si dada anguu
eti nae hanifahamu
Hata harmonize nikimpigia ananifokea kama Salaam


Na magazeti ya nyumbani kwa kukuza habari si unajuagaa..

Utasikia Tafalani eti Mondi kwa Zari amemwagwa
Navyo nilivyo mnyonge tabia ya kuwajibu sinagaa
Kama naiona michambo ya madem wa zamani nilowapitiaga


Ooh nayosema yana maanaa
Sababu hakuna anaejua kesho
Anaepanga ni Rabanaa
ila ameificha ni confidential
Ukisali omba sanaa
mumeo nisije kuwa kichekesho


Maana rafiki wa jana
aaah
ndioo adui mkubwa wa keshoo
La la la la la laaaaa
au je utanipenda gaa?
La la la la laaa
Au nawe utanimwagaa?
La la la la laaaa
Ati utanipenda gaa ooh


Ooooh

Ooooooooh..
Bado naiwaza sana
Zile tunzo mashauzi airport
Je itapofika tamaa
Utadiriki hata japo kunipost


Pindi show zimekwamaa
Na nikipata sijahis ni mikosi
Oooh jahazi limezama
Mora ninusulu baba
Kama namuona mwanangu
Roho yangu
Tiffa Dangote
Anakwenda na mama angu
Kwa Jakaya Kikwete wanafukuzwa watoke
Usilie sandra wangu,
Mboni yangu
Jikaze usichoke
Huenda kesho zamu yangu
Nitavuma tena mambo yanyooke


Eeeey
na magazeti ya nyumbani
Kwa kukuza habari si unajuagaa
Utasikia tafalani eti mondi kwa zari amemwaga
yoyoyooo
Navyo nilivyo mnyonge
Tabia ya kuwajibu sinagaa


Kama naiona michambo ya madem wangu wa zamani yaan
He he heeeeee


La la la la laaaaaa (eeeh)
(Ola lala la laaaalaa)
La la la la laaa
(Ooh ola la la laaaa)
La la la la la alaaaa
Eeeh
Ola la la lilaa ooh
I say..


Kama namuona mwanangu
Roho yangu
Tiffa dangote
Ana kwenda na mama angu
Kwa mkubwa Fella anafukuzwa watoke
Usilie sandra wangu
Mboni yangu
Jikaze usichoke
Huenda kesho zamu yangu
Nitavuma tena
Mambo yanyooke(he he heee)


Eiiii

Ola lala lilaa

Oooh bby

(Tudy Thomaas)

Oooooh
Nayosema yana maana
Sababu hakuna anaejua kesho


Anaepanga ni Rabana
Ila ameificha ni confidential


Ukisali omba sana
Mumeo nisije kuwa kichekesho
Maana rafiki wa jana
Ndio adui mkubwa wa kesho


WASAFIIII..

0 comments:

Post a Comment

VIDEO Lyrics

RWANDAN Culture And Traditions