Welcome to RIRIMBA Lyrics!

Meet the Author

Ut eleifend tortor aliquet, fringilla nunc non, consectetur magna. Suspendisse potenti.

Looking for something?

Subscribe to RIRIMBA Lyrics!

Receive the latest posts by email. Just enter your email below if you want to subscribe!

Showing posts with label Tanzania. Show all posts
Showing posts with label Tanzania. Show all posts

Monday, July 25, 2016

Chacun pour soi By Papa Wemba ft Diamond Platnumz

Motema ezo lela est ce que ozo yoka nga
Mawa na nga pe pinzoli eh
Mboka nini na kende epayi ya nga, Nakeyi Dar-Es-Salaam
Kolela na nga eleki ya moto mohumbu oya azangaki liberté
 Kuna kuna na Zanzibar
Kuna kuna na Zanzibar


Alfajiri huwa ni kitendawili
Nafikiri pindi tukiwa wawili
Tena nakiri inanitesa mwili
Bora tu niache

Chacun pour soi eh, mélodie na nga
 Chacun chez soi eh
Chacun pour soi eh, mélodie na nga
Chacun pour soi eh


Ukweli roho inanisonona
Tena moto hadi sijapona
 Ila naamini Mola ataniona
Nitakuja pata wakuniponya
Ila tu chonde ma nikuombe
Usiniseme vibaya
Tena nakuombea kuongezewa
 Kwa Mola mwaya 


Alfajiri huwa ni kitendawili
Nafikiri pindi tukiwa wawili
Tena nakiri inanitesa mwili
Bora tu niache


Tucheze rumba
Tena taratibu na mtumba
Twapenda rumba
Wote na marafiki wa kunyumba
Cheza rumba
KINSHASA
Tobina rumba
NAIROBI
Cheza rumba
BRAZZAVILLE
Tobina rumba Cheza rumba
ABIDJAN NA YAOUNDE
Tobina rumba
NA COTONOU LOME
Mambi na mwana Africa
Rumba ya bana mboka

Tuesday, June 7, 2016

Make Me Sing By AKA x Diamond Platnumz

[Verse 1 – AKA]
Sweet something you all I want
Can’t tell me nothing stole my heart
Praise God that He made you
See nobody, nobody replace you
So tell me have you seen her
African queen, number one diva
Shake your bidi bum thing, when I pump speaker
Don’t you know we run things inner Tanzania

Oh ta ta ta tara
Ta ta ta tarara (tarara)
Ta ta ta tara (tata rara)
Nta nta nta ntara rara

[Chorus – Diamond Platnumz]
Oh mama you gon’ make me sing
Ta ta ntara (ona naimba)
Uh ta ntara (giving thanks and pray)
Ta ta ntara (feeling your embrace)
Uh ta ntara (you’re my everything)
Ta ta ntara (one and only queen)
Uh ta ntara (hee hee eh)
Ta ta ntara (oh oh oh)
Uh ta ntara (any time and any place)

[Verse 2 – Diamond Platnumz]
When I’m looking to your eyes
Furaha yangu naiona
Pressure unani-minimize
Napougua napona (ni wewe)
Ananichanganya (ni wewe)
Asi kwa chanya (ni wewe)
Anaenichanganya (ni wewe)
Shibe yangu mama (ni wewe)
Eh hee hee, hivyo hivyo
Hivyo chunga tusije tengana
Hivyo hivyo
Taratibu tutafika mama
Na ngoma yako isakata
Nakoma dance ukikata
Sangoma wa nini nshanasa

[Chorus – Diamond Platnumz]
I swear you de make me sing…
Ta ta ntara (singing everyday)
Uh ta ntara (giving thanks and pray)
Ta ta ntara (feeling your embrace)
Uh ta ntara (you’re my everything)
Ta ta ntara (one and only queen)
Uh ta ntara (hee hee eh)
Ta ta ntara (oh oh oh)
Uh ta ntara (any time and any place)

[Verse 3 – AKA]
We… fresh and clean, you want something
Then chop my money oh
Ah yeah, no long team I invite you to my bedroom party oh (ah yeah)
Take a shot and pop the bubbly
Glass is up you got to love me
Ah, break it down we de make girlem sweat like cardio
Aah!
You de queen of my kingdom
Number one in a million
Bout time I put the ring on
Bad girls got their eyes on my income
No stress or drama
Jah bless, asante sana
Give thanks to God for my queen love
Dar Es Salaam put your drink up

Ta ta ta tara (tarara)
Ta ta ta tarara (tata rara)
Ta ta ta tara, oh yeah

[Chorus – Diamond Platnumz]
Oh ma you de (gon) make me sing
Ta ta ntara (singing everyday)
Uh ta ntara (thanks and pray)
Ta ta ntara (feeling your embrace)
Uh ta ntara (you’re my everything)
Ta ta ntara (one and only queen)
Uh ta ntara (hee hee eh)
Ta ta ntara (oh oh oh)
Uh ta ntara (any time and any place)

[Outro – Diamond Platnumz]
Any time and any place
Singing everyday
Giving thanks and pray
Feeling your embrace
You’re my everything
One and only queen


Oh weh weh weh weh!

Tuesday, April 26, 2016

Unconditionally Bae By Sauti Sol ft Ali Kiba

We all need love,
We all need affection,
And the way that you're looking at me,
 I can feel a connection
 Unanibamba baby, kwanza unavyochekecha

Kinywaji kwa mkono, na kibeti kwa bega

Juu sikuizi madem wanapenda doh
Na machali pia tunazo drama,
Ya dunia ni mengi sana, no commitment mama
So nipe nafasi,

Nikupe mapenzi yangu ya kiluhya,
hallelujah

We all need love,
Nakupenda,
Tena nina imani sana
Ushanitega, ushanitega
We all need someone,
Nakupenda,
Tena nina imani sana

Ushanitega, ushanitega
So make love to me,
Unconditionally bae, unconditionally bae
Make love to me
Unconditionally bae, unconditionally bae

We all need love,
Me I need a wife, wa kuishi na yeye

Fuata vijana utakufa mapema magonjwa yamejaa,
Jina langu Ali, sasa lazima nilee
Nikikosa kula, nawe ndo chakula, nitakonda mazima,
And I belie-eeeve, nitakuwa nawewe,
Mwanzo mpaka mwisho, And I belie-eeeve, baibe

We all need love,
Nakupenda,
Tena nina imani sana

Ushanitega, ushanitega
We all need someone,
Nakupenda,
Tena nina imani sana
Ushanitega, ushanitega
So make love to me,
Unconditionally bae, unconditionally bae
Make love to me
Unconditionally bae, unconditionally bae

We all need love,
Nakupenda,
Tena nina imani sana

Ushanitega, ushanitega
We all need someone,
Nakupenda,
Tena nina imani sana
Ushanitega, ushanitega
So make love to me,
Unconditionally bae, unconditionally bae
Make love to me
Unconditionally bae, unconditionally bae


Ali,
 (Bumaye)
Sauti Sol,

 (Bumaye)
East Africa,
(Bumaye)
Tanzania Kenya
(Bumaye)
 Kigali,
(Bumaye)
Bujumbura,
(Bumaye)
Kampala,
(Bumaye)

Kinsasha,
 Bumaye
Bumaye,
Bumaye,
Bumaye,
Bumaye,
Bumaye.

Monday, March 21, 2016

Salima by Linex ft Diamond Platnumz

Salima, Salima ooh najua maisha yako yaliyumba pale ulipo wapoteza wazazi wako
Yule Salima wa jana sio Salima wa leo amekua wa kujinania na kujikata tamaa
Iko wapi furaha yake aliyo kuwa nayo mwanzo Iko wapi furaha yake aliyo kuwa nayo mwanzo

Salima nakusanze kasuru kagonga wekuye tenga tinyanya salima chenisange nguya yene nasoma nawe mwengee
Salima mi ni sange yule yule nilie soma nawe Mwenge zimeyayuka ndoto zako ulizo kuwa nazo Salima

(Ooh Salima) mie mwenzako nakupenda (Ooh Salima) mie nataka niwe wako (ooh Salima) tuwe na wana tuje penda (ooh Salima) niwe baba wa watoto wako
(Ooh Salima) mie mwenzako nakupenda (ooh Salima) mie nataka niwe wako (ooh Salima) tuwe na wana tuje penda (ooh Salima) niwe baba wa watoto wako

Naomba hiyo bahati ya kuishi nawe idondokee kwangu isiende kwa mwingine
Yasije kuwa kama yale ya mla nawe hafi nawe yasije kuwa kama yale ya mla nawe hafi nawe
Usijikatie tamaa kuna wengi wana shida kuliko zako Salima
Wanaamini kupitia yule msemo wa ridhiki hapo mbinguni kwake
Wanaamini kupitia ule msemo wa ridhiki mafungu saba Salima ooh

(Oh Salima )mie mwenzako nakupenda (ooh Salima) mie nataka niwe wako (ooh Salima) tuwe na wana tujependa( ooh salima) niwe baba wa watoto wako
(Ooh Salima) mie mwenzako nakupenda (ooh Salima) mie nataka niwe wako (ooh Salima) tuwe na wana tuje penda (ooh Salima ) niwe baba wa watoto wako

Moyo unatamani yani kuwa kitambo ufungue (ufungue)
Usione jinsi gani unavyonifanya niugue eeh zenda huri nana uwawish uwawi nashisee
pamoja kuherera baba utungamizi japo niulimishe
Utamu, utamu wa moyo wangu mi kupendwa nawe
Utamu Salima tatizo mami basi sema nielewe
Ah Salima ooh (oh ayee) Salima eeh (oh ayee) Salima ooh (oh aee) Salima eeh (oooh)

(Oh Salima) mie mwenzako nakupenda (ooh Salima) mie nataka niwe wako (ooh Salima) tuwe na wana tujependa ooh salima niwe baba wa watoto wako
(Ooh Salima) mie mwenzako nakupenda (ooh Salima )mie nataka niwe wako (ooh Salima) tuwe na wana tuje penda (ooh Salima)niwe baba wa watoto wako

I feel that I’m in love with you, i feel that my life is you I feel that you’re the only one I need, I’m gonna trust
Baby I’m not perfect but I’m going my all the way and i just want to be with you
Me and you forever and ever
(Oh Salima) mie mwenzako nakupenda (ooh Salima) mie nataka niwe wako (ooh Salima )tuwe na wana tuje penda (ooh Salima) niwe baba wa watoto wako
(Ooh Salima) mie mwenzako nakupenda (ooh Salima) mie nataka niwe wako (ooh Salima) tuwe na wana tuje penda (ooh Salima) niwe baba wa watoto wako
Watoto kedekede, na watoto kedekede shemeji mchange wandese tanisaidia
Salima, Salima, Salima

Wednesday, February 24, 2016

Binti Kiziwi By Zanto



Verse 1
Nimpate vipi mi sijui, ninaimani mapenzi hayajuiiihi
Nitapata ugojwa wa moyo, kwa sababu ya mawazo
Ninavyojuwa maisha yake, hajawai kuwa na boyfriend
Ila ni mimi wakwanza naninashindwa kumpata
Kwa ishara inaonekana nampenda, yeye eti ninamzingua
Eti ingelikuwa anaskia, basi ukweli wangu angeujua
Kwa ishara inaonekana nampenda, yeye eti ninamzingua
Eti ingelikuwa anaskia, basi ukweli wangu angeujua
Ningelizoe rafiki yakee basi ye ni,ningemtumaaaa
Ningezitambua ishara zake basi mi kwake ningefika
Ningelizoe rafiki yakee basi ye ni,ningemtumaaaa
Ningezitambua ishara zake basi mi kwake ningefika

Chorus
Si siri ninampenda binti kiziwi
Moyo wangu wamoteka binti kiziwi
Si siri nataseka juu yake,ye binti kiziwi
Si siri ninampenda binti kiziwi
Kwakuwa moyo wangu wamouteka binti kiziwi
Kichwa kinauma mawazo kwake binti kiziwiiii

Verse 2
Nashangaa pale nampomkutaaa, akiwa nawenzake wanaongeaaa
Huwa najiuliza mimi, wanaongea,naye vipiiii
Nashangaa napo muitaa,nahisi huwa anakata
Sijui ndio hasiki, au mapozi, au mapozi naye
Afadhali angejuae kusomae,hatachale kiumbe ningempa
Eti kama ningejuwa isharaaa,basi kwake ningefika mimi
Afadhali angejuwa kusomae,hata mbonge kiumbee ningempa
Etikama ningejua isharaa,mbasi kwake ningefika baby
Chorus
Si siri ninampenda binti kiziwi
Moyo wangu wamoteka binti kiziwi
Si siri nataseka juu yake,ye binti kiziwi
Si siri ninampenda binti kiziwi
Kwa moyo wangu wamouteka binti kiziwi
Kichwa kinauma mawazo kwake binti kiziwi

Verse 3
Binti kiziwi yuko full yani yuko bombaa
Amenidatisha mnyamwezi nayake figure
Tatizo moja tu ambalo mimi hulinasibu
Kila kukicha hata inikiwaza mimi sipati jibu
Nikimwambia neno i luv you wala halijuwi
Nikimwambie neno i need you halitambui
Nikimwimbia nyimbo nzuri hata sikiii
Pingu nasikitika nikimwona mbinti kiziwi
Nikimwambia neno i luv you wala halijuwi
Nikimwambie neno i need you halitambui
Nikimwimbia nyimbo nzuri hata sikiii
Pingu nasikitika nikimwona mbinti kiziwi

Bridge
Hatakusema neno i luv youuu kwake halijui
Hatakusema neno i need youuu kwake halitambui
Hatakusema neno i luv youuu kwake halijui
Hatakusema neno i need youuu kwake halitambui
Baby,baby baby,booo,baby i love you
Ingawa nateseka naye, baby i need you
Baby, baby, booo(uhuu),baby i love you (uhuhu)
Baby (tuhuu) baby, i need you (uhu)

Chorus

Thursday, February 11, 2016

Na yule by Ruby


Mapenzi hayana mwenyewe
Unaweza penda kijana
Au mzee, eeh!
Niite jina kangu baby
Huenda nafsi yangu itapoa aaahh!!
Shika moyo wangu baby
Unavokwenda mbio wewe
Utapoa, hhaaahh!


Kuna muda
namuomba Mungu angekuleta mapema
ila bado sio mbaya
wewe ndo unayejuwa maumivu yangu
hii baby
ila bado sio mbaya
wewe ndo unayejuwa maumivu yangu
sikula unitoke machoni
tembea name ndoni
ntakuweka moyoni
bila hofu rohoni
moyo wangu tembea na Yule
na Yule ndo nampendaga
macho yangu mtazame Yule
mtazame Yule
namuamini sana


baby sitaki kutazama nyuma tenaa
maumivu nilisha yaona
wengi walinipotezea muda
hakuna nilichokipata
aah hah ah!


Kuna muda
namuomba Mungu angekuleta mapema
ila bado sio mbaya
wewe ndo unayejuwa maumivu yangu
hii baby
ila bado sio mbaya
wewe ndo unayejuwa maumivu yangu
sikula unitoke machoni
tembea name ndoni
ntakuweka moyoni
bila hofu rohoni
moyo wangu tembea na Yule
na Yule ndo nampendaga
macho yangu mtazame Yule
mtazame Yule
namuamini sana


#########################
#########################
#########################
#########################


Kuna muda
namuomba Mungu angekuleta mapema
ila bado sio mbaya
wewe ndo unayejuwa maumivu yangu
hii baby
ila bado sio mbaya
wewe ndo unayejuwa maumivu yangu
sikula unitoke machoni
tembea name ndoni
ntakuweka moyoni
bila hofu rohoni
moyo wangu tembea na Yule
na Yule ndo nampendaga
macho yangu mtazame Yule
mtazame Yule
namuamini sana

VIDEO Lyrics

RWANDAN Culture And Traditions