Welcome to RIRIMBA Lyrics!

Meet the Author

Ut eleifend tortor aliquet, fringilla nunc non, consectetur magna. Suspendisse potenti.

Looking for something?

Subscribe to RIRIMBA Lyrics!

Receive the latest posts by email. Just enter your email below if you want to subscribe!

Monday, July 25, 2016

Chacun pour soi By Papa Wemba ft Diamond Platnumz

Motema ezo lela est ce que ozo yoka nga
Mawa na nga pe pinzoli eh
Mboka nini na kende epayi ya nga, Nakeyi Dar-Es-Salaam
Kolela na nga eleki ya moto mohumbu oya azangaki liberté
 Kuna kuna na Zanzibar
Kuna kuna na Zanzibar


Alfajiri huwa ni kitendawili
Nafikiri pindi tukiwa wawili
Tena nakiri inanitesa mwili
Bora tu niache

Chacun pour soi eh, mélodie na nga
 Chacun chez soi eh
Chacun pour soi eh, mélodie na nga
Chacun pour soi eh


Ukweli roho inanisonona
Tena moto hadi sijapona
 Ila naamini Mola ataniona
Nitakuja pata wakuniponya
Ila tu chonde ma nikuombe
Usiniseme vibaya
Tena nakuombea kuongezewa
 Kwa Mola mwaya 


Alfajiri huwa ni kitendawili
Nafikiri pindi tukiwa wawili
Tena nakiri inanitesa mwili
Bora tu niache


Tucheze rumba
Tena taratibu na mtumba
Twapenda rumba
Wote na marafiki wa kunyumba
Cheza rumba
KINSHASA
Tobina rumba
NAIROBI
Cheza rumba
BRAZZAVILLE
Tobina rumba Cheza rumba
ABIDJAN NA YAOUNDE
Tobina rumba
NA COTONOU LOME
Mambi na mwana Africa
Rumba ya bana mboka

0 comments:

Post a Comment

VIDEO Lyrics

RWANDAN Culture And Traditions