Motema ezo lela est ce que ozo yoka nga 
Mawa na nga pe pinzoli eh 
Mboka nini na kende epayi ya nga, Nakeyi Dar-Es-Salaam 
Kolela na nga eleki ya moto mohumbu oya azangaki liberté
 Kuna kuna na Zanzibar
Kuna kuna na Zanzibar 
Alfajiri huwa ni kitendawili 
Nafikiri pindi tukiwa wawili 
Tena nakiri inanitesa mwili 
Bora tu niache 
Chacun pour soi eh, mélodie na nga
 Chacun chez soi eh 
Chacun pour soi eh, mélodie na nga 
Chacun pour soi eh 
Ukweli roho inanisonona 
Tena moto hadi sijapona
 Ila naamini Mola ataniona
Nitakuja pata wakuniponya 
Ila tu chonde ma nikuombe 
Usiniseme vibaya 
Tena nakuombea kuongezewa
 Kwa Mola mwaya 
Alfajiri huwa ni kitendawili 
Nafikiri pindi tukiwa wawili 
Tena nakiri
inanitesa mwili 
Bora tu niache 
Tucheze rumba 
Tena taratibu na
mtumba 
Twapenda rumba 
Wote na marafiki
wa kunyumba 
Cheza rumba 
KINSHASA 
Tobina rumba 
NAIROBI 
Cheza rumba 
BRAZZAVILLE 
Tobina rumba Cheza rumba 
ABIDJAN NA YAOUNDE 
Tobina rumba 
NA COTONOU LOME 
Mambi na mwana Africa 
Rumba ya bana mboka


0 comments:
Post a Comment